NASSIR WA VANILLA KUTOKA NA NGOMA MPYA SOON

Baada ya kufanya poa na ngoma yake ya hanitaki Mkali toka kisiwani zanzibar Nassir wa vanilla yuko mbioni kuachia ngoma mpya mpya ambayo anatarajia kuifanya kupitia Studio ya G-records chini ya mtayarishaji KGT akiongoa na chiwileInc Nassir amefunguka kua mda si mlefu atakua pande za Dar es salaam kwa ajiri ya ku Records hiyo ngoma "Soon mtakua kwenda ku record hiyo ngoma ila sijaju mtafanya na nani ila akili yangu ipo kwa ally Kiba au Ommy Dimponz So mashabiki wa Vanilla wakae mkao wa kula hii ni zawadi kwao" alimaliza Nassir wa Vanilla

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates